Jina la biashara yako litaonekana kwenye risiti na juu ya app.
Jina la mtumiaji la kuingia (login) โ usilitumie jina la wateja wanalojua.
Weka nenosiri usilolisahau, litahitajika kila unapoingia.
Namba ya simu itaonekana kwenye risiti za mauzo (tarakimu 10, mfano: 0745000000).
Mtaji wa Awali = pesa/thamani ya bidhaa uliyoanza nayo biashara (TZS).
Jinsi ya kutumia:
1๏ธโฃ Ruhusu kivinjari kitumie kamera ukiombwa
2๏ธโฃ Elekeza kamera moja kwa moja kwenye barcode/QR
3๏ธโฃ Weka umbali wa sm 10โ15, hakikisha kuna mwanga wa kutosha
4๏ธโฃ Shikilia simu tulivu mpaka isome yenyewe
โ
Ripoti
โ
โ
๐จ๏ธ Chagua Printer
โ
โ ๏ธ Taarifa
โ
โ Thibitisha
โ
Weka Kiasi
โ
โ Ongeza Cashier
Cashier ataweza kuuza na kuona wateja/miadi pekee. Hataona mtaji, ripoti, bidhaa wala mipangilio ya biashara.
๐ฌ Ongea na Msimamizi
๐ซ Tuma Tatizo kwa Msimamizi
โ
๐ Umesahau Nenosiri?
Andika jina la mtumiaji (username) ulilotumia kujisajili.
๐ Weka Nenosiri Jipya
Umethibitishwa kama . Weka nenosiri jipya la akaunti yako.
Simu hii haina data ya akaunti hii. Weka namba ya simu uliyotumia kujisajili ili tuthibitishe ni akaunti yako, kisha nenosiri litabadilika papo hapo mtandaoni.